Hili ndio begi maalum la kubebea Kombe la Dunia 2018



Bado siku 27 michuano ya Kombe la dunia kwa mwaka 2018 ianze nchini Urusi, hii ni michuano mikubwa na mvuto wa michuano hii unakuja kutokana na michuano kuwa na utaratibu wa kufanyika mara moja kila baada ya miaka minne.
Kuelekea michuano hiyo kampuni ya fashion ya Louis Vuitton imetengeneza sanduku maalum litakalotumika kubebea Kombe la Dunia kwa mwaka huu 2018.
Share on Google Plus

About Chagaboy

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment